Nyota ya Vanessa Mdee Yazidi Kung'aa Kimataifa..Atajwa Kuwania Tuzo Nigeria,,,,,,,,
On the spot Tz
Msanii wa Bongofleva Vanessa Mdee jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kutajwa katika moja kati ya tuzo kubwa Nigeria Entertainment, Vanessa ametajwa kuwania tuzo zinazoitwa Nigeria Entertainment Awards.

Jina la muimbaji Vanessa Mdee limetajwa katika kipengele cha kuwania tuzo ya muimbaji bora wa kike, katika kipengele hicho Vanessa anawania tuzo hiyo na wasanii wengine saba kutoka nchi mbalimbali, Nigeria Entertainment Awards zitafanyika New York Marekani, September 4 2016.
onthespottz.blogspot.com
«
Next
Maskini Baba Diamond Platnumz, Azidiwa Ghafla!,,,,,,,,,,,,,
»
Previous
Mbele ya Wizkid, Diamond Kushinda Tuzo ya BET Mwaka Huu Haiwezekanii,,,,,,,,,,,,

No comments:

Leave a Reply