
Posted by On the spot Tz
12:07:00 PM
0
Klabu ya African Sports imeungana na vilabu vingine vya Tanga (Coastal Union na Mgambo JKT) kuipa mkono wa kwaheri ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuchapwa bao 2-0 na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa mwisho wa ligi uliochezwa kwenye uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro.
African Sports na Mgambo JKT zote zilikuwa zikihitaji ushindi kwenye mechi zao za leo huku zikiombea mabaya timu za Ruvu JKT na Kagera Sugar ili zenyewe ziwe na uhakika wa kusalia VPL.
Lakini mabo yalikuwa tofauti baada ya Ruvu JKT kuichapa Simba kwenye uwanja wa taifa huku Kagera Sugar wakipata sare ya kufungana bao 2-2 dhidi ya Mwadui FC.
Kwenye uwanja wa Azam Complex, Mgambo imeshuka daraja kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mgambo iliyokuwa ikihitaji ushindi kwenye mchezo wa leo imejikuta ikishindwa kupata ushindi kwa mara nyingine mbele ya Azam ambao sare hiyo imewafanya wamalize kwenye nafasi ya pili nyuma ya mabingwa Yanga.
Simba waliokuwa wakiwania nafasi ya pili wamechapwa na Ruvu JKT na timu hiyo iliyo chini ya kocha wa zamani wa Simba King Kibadeni imenusurika kushuka daraja.
onthespottz.blogspot.com
African Sports na Mgambo JKT zote zilikuwa zikihitaji ushindi kwenye mechi zao za leo huku zikiombea mabaya timu za Ruvu JKT na Kagera Sugar ili zenyewe ziwe na uhakika wa kusalia VPL.
Lakini mabo yalikuwa tofauti baada ya Ruvu JKT kuichapa Simba kwenye uwanja wa taifa huku Kagera Sugar wakipata sare ya kufungana bao 2-2 dhidi ya Mwadui FC.
Kwenye uwanja wa Azam Complex, Mgambo imeshuka daraja kwa kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Azam FC. Mgambo iliyokuwa ikihitaji ushindi kwenye mchezo wa leo imejikuta ikishindwa kupata ushindi kwa mara nyingine mbele ya Azam ambao sare hiyo imewafanya wamalize kwenye nafasi ya pili nyuma ya mabingwa Yanga.
Simba waliokuwa wakiwania nafasi ya pili wamechapwa na Ruvu JKT na timu hiyo iliyo chini ya kocha wa zamani wa Simba King Kibadeni imenusurika kushuka daraja.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Usikose Bundesliga msimu wa tatu ndani ya startimes.
FULL TIME : Simba 1 - 0 Rayon sports katika mchezo wa Simba Day.
DK 45 : Zimemalizika Simba 1 - 0 Rayon sports.
LWANDAMINA AJIUZULU RASMI ZESCO SASA MKUU PANDE MKUU SAWA NDANI YA YANGA SC,,,,,,,,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
66,443
No comments: