
Posted by On the spot Tz
4:04:00 AM
0
Na Tom
Machupa kutoka Tanga,
Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Tanga BENEDICT WAKULYAMBA.
Kamanda
wa polisi mkoa wa Tanga BENEDICT WAKULYAMBA amesema Jeshi la Polisi mkoani hapo
linaendelea na oparesheni ya kukamata waendesha piki piki maarufu kama BODA BODA wasiovaa au kuwavalisha abiria wao kofia ngumu
(HELMENT) wakati wakiwa katika safari
zao mbalimbali lengo ni kuepusha vifo
visivyo vya lazima kutokana na madereva hao kutokutii sheria za usalama
barabarani.
Mwendesha Boda Boda anayevunja sheria za usalama barabarani.
Kamanda
WAKULYAMBA amesema jukumu la kuvaa kofia
ngumu si la dereva pekee bali hata abiria anatakiwa kuvaa kofia ngumu ili awe na usalama wakati wote ambao anatumia usafiri wa aina hio, Kwa yeyote
ambaye hata heshimu sheria za Usalama Barabarani jeshi la polisi litamchukulia hatua kwa
mujibu wa sheria za usalama barabarani.
Aidha
kamanda WAKULYAMBA amesema mpaka sasa Jeshi la Polisi limewakamata watuhumiwa
thelathini (30) ambao wamekaidi maagizo na kuvunja sheria za barabarani ikiwemo kutokuvaa kofia ngumu (HELMENT)
wakiwemo madereva wa pikipiki (BODA BODA)
na abiria wao.
Mwendesha boda boda na Abiria wake wakiwa wamevaa kofia ngumu (HELMENT)
Kamanda WAKULYAMBA
amewaomba wananchi wa Tanga kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la
polisi wanapohisi au kupata taarifa zozote za kihalifu ili Jeshi la polisi
liweze kushughulikia ili Nchi na Mkoa kuwe na amani kwa ujumla.
Waendesha Boda boda wakiwa katika eneo lao la kazi.

Tagged with:
HABARI KITAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
64,464
No comments: