
Posted by On the spot Tz
9:36:00 PM
0

Aliyekuwa makamu wa rais wa Zimbabwe Joyce Mujuru anasema kuwa atafurahia kubuni muungano na chama cha upinzani cha MDC ili kumuondoa madarakani rais Robert Mugabe.
Bi Mujuru ameiambia BBC kwamba yuko tayari kufanya kazi na chama cha Movemnet for Democratic Change kinachoongozwa na Morgan Tsvangira na wengine kwa niaba ya raia wa taifa hilo.
Alizndua rasmi chama chake mapema mwaka huu baada ya kufutwa kazi kama makamu wa rais kabla ya kufukuzwa katika chama tawala cha ZANU PF .
Rais Mugabe mwenye umri wa miaka 92 amesema kuwa atawania muhula mwengine katika uchaguzi ujao.
Kumekuwa na maandamano katika wiki za hivi karibuni kuhusu hali mbaya ya kiuchumi nchini Zimbabwe.

Tagged with:
KIMATAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,095
No comments: