Posted by On the spot Tz
2:54:00 AM
0
Wakimbizi Waislamu mjini Berlin, mji mkuu wa Ujerumani wameelezea matatizo yanayowakabili ukiwemo ukosefu wa misikiti na maeneo ya ibada kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Berlin ni moja ya miji mikubwa yenye idadi kubwa ya wakimbizi Waislamu ambao kwa mujibu wa serikali ya Ujerumani inafikia laki moja, suala ambalo litaifanya nchi hiyo kuingia gharama kubwa katika kuwahifadhi. Baada ya kuingia mwezi wa Ramadhani na kutokana na ukosefu wa maeneo yanayofaa kwa ajili ya kufanyia ibada kama vile misikiti, hali hiyo imewaweka pagumu zaidi wakimbizi hao Waislamu suala ambalo limewatia wasi wasi hata viongozi wa nchi hiyo. Hii ni katika hali ambayo kwa sasa Waislamu hao wanafanya ibada zao katika misikiti midogomidogo na michache sana mjini Berlin, suala ambalo linaonekana kuwa tatizo kubwa katika mwezi huu wa Ramadhani.
Tagged with:
KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: