
Posted by On the spot Tz
4:55:00 PM
0
Wakala Mino Raiola ndiye anaonekana kuwa na simu iliyo busy zaidi katika kipindi hiki cha usajili barani Ulaya.
Mino
raia wa Italia ambaye ni wakala wa kuuza wachezaji anayetambuliwa na
Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) anaonekana kuwa “on fire” kwa
kipindi hike kuliko mawakala wengine.
Wachezaji wake ndiyo wamekuwa gumzo la uhamisho huku klabu mbalimbali zikigongana kutaka kuwapata.
Baadhi yao ni Zlatan Ibrahimovich anayehusishwa kwenda Manchester United na klabu kadhaa kubwa, pia Paul Pogba ambaye Real Madrid wameishaonyesha nia.
Pia Romelu Lukaku na Mario Balotelli ambaye imeelezwa Mino ameanza mazungumzo na Besiktas ya Uturuki ili ajiunge nayo.
Kiungo
staa wa Dortmund, Henrikh Mkhitaryan ambaye anahusishwa na kujiunga na
Man United ambayo imelazimika kuongeza dau kumbana, pia yuko chini ya
wakala huyo anayeaminika kuwa mjeuri na anayejiamini.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: