Posted by On the spot Tz
4:59:00 PM
0
Staa LeBron James hana mpango hata kidogo wa kuondoka Cleveland Cavaliers.
Cavaliers
inamlipa jumla ya dola million 23 kwa mwaka. Naye amesema baada ya
kuiwezesha kubeba ubingwa, angependelea kuendelea kubaki.
Mchezaji
kikapu huyo maarufu kama King James, ameiwezesha Cavaliers kubeba
ubingwa wa NBA tena baada ya kuwa imefanya hivyo mwaka 1964.
Mashabiki
walijitokeza kwa wingi kuipokea timu hiyo na kumpongeza yeye katokana
na kazi nzuri aliyoifanya ya kuiangusha Golden State iliyokuwa inapewa
nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa NBA.

onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...






No comments: