Posted by On the spot Tz
4:59:00 PM
0
Staa LeBron James hana mpango hata kidogo wa kuondoka Cleveland Cavaliers.
Cavaliers
inamlipa jumla ya dola million 23 kwa mwaka. Naye amesema baada ya
kuiwezesha kubeba ubingwa, angependelea kuendelea kubaki.
Mchezaji
kikapu huyo maarufu kama King James, ameiwezesha Cavaliers kubeba
ubingwa wa NBA tena baada ya kuwa imefanya hivyo mwaka 1964.
Mashabiki
walijitokeza kwa wingi kuipokea timu hiyo na kumpongeza yeye katokana
na kazi nzuri aliyoifanya ya kuiangusha Golden State iliyokuwa inapewa
nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa NBA.

onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...






No comments: