Posted by On the spot Tz
5:01:00 PM
0
Nyota Lionel Messi amekuwa mfungaji mwenye mabao mengi zaidi kuliko wengine wote kwa kipindi chote katika kikosi cha Argentina.
Messi
alifikisha mabao 55 wakati alipoingiza Argentina kuitwanga Marekani kwa
mabao 4-0 katika mechi ya nusu fainali ya Copa America.
Kwa
rekodi hiyo, mshambuliaji huyo nyota wa Barcelona ameungana na
washambuliaji nyota wengine walio na rekodi za juu kama Robin van Persie
na Uholanzi, Zlatan Ibrahimovich na Sweden, Thierry Henry na Ufaransa
au Pele na Brazil.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: