
Posted by On the spot Tz
4:49:00 PM
0
OMOG |
Kocha
Mghana, Sellas Tetteh naye anasubiri kuona kama timu yake ya Sierra
Leone kama itafuzu Afcon au la. Ikishindwa, ndiyo anaweza kutua nchini
na kujiunga na Simba.
Suala
hilo, linawafanya Simba waone muda unasonga kwa kuwa tayari kocha
aliyekuwa chaguo lao la kwanza, Kalisto Pasuwa wa Zimbabwe naye
alibadili uamuzi wa kujiunga nayo baada ya kuiwezesha Zimbabwe kufuzu
Afcon.
![]() |
TETTEH |
Simba
wamekaa na wanaona chaguo lao la tatu, Joseph Omog raia wa Cameroon
anaweza kuwa msaada mkubwa, hivyo wamalizane naye kabisa kimkataba.
Uamuzi wa Tetteh ulionekana kuwagawa Simba, wengine wakitaka asubiriwe. Lakini wengine wakiona muda unakwenda matiti.
Hivyo,
leo Simba inaweza kufanya uamuzi wa mwisho kuhusiana na Omog ingawa
wengi wanaona hakuna haja ya kufikiri sana kwa kuwa Omog anaijua
Tanzania na aliipa Azam FC ubingwa wa Tanzania Bara kwa mara ya kwanza
na mwisho hadi sasa mwaka 2014.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: