SASA RASMI, WANYAMA ATUA TOTTENHAM HOTSPURS KWA DAU LA PAUNI MILIONI 11,,,,,,,,
Tottenham imemwaga pauni million 11 na kufanikiwa kumnasa kiungo Mkenya ambaye ni nahodha wa Harambee Stars,Victor Wanyama.

Wanyama aliyekuwa akikipiga Southampton ya England pia aliyojiunga nayo akitokea Celtic ya Scotland mwaka 2013, amesisitiza kuwa na furaha.

“Nina furaha kubwa kujiunga na Spurs, moja ya timu bora kabisa duniani,” alisema Wanyama mwenye umri wa miaka 24.


TIMU:
2008-2011: Beerschot
2011-2013: Celtic
2013-Present: Southampton 
«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post


No comments:

Leave a Reply