
Posted by On the spot Tz
3:26:00 PM
0
Siku
moja tu baada ya kuingia mkataba mpya na kampuni maarufu ya kuuza
matairi nchini ya Bin Slum Tyres, klabu uya Mbeya City imeanza kuonyesha
jeuri ya fedha.
Mbeya City imeingia mkataba na kiungo mshambuliaji kutoka Prisons ya Mbeya pia, mohammed Mkopi.
Mkopi
amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Mbeya City ambayo imesaini
mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 300 kupitia bidhaa
za betri za magari za RB kutoka kwa Bin Slum.
Awali,
Mbeya City ilitaka kumchukua Didier Kavumbagu kutoka Azam FC, lakini
raia huyo wa Burundi aliamua kwenda nchini Vietnam ambako ameanza maisha
mapya ya soka.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: