Posted by On the spot Tz
3:26:00 PM
0
Siku
moja tu baada ya kuingia mkataba mpya na kampuni maarufu ya kuuza
matairi nchini ya Bin Slum Tyres, klabu uya Mbeya City imeanza kuonyesha
jeuri ya fedha.
Mbeya City imeingia mkataba na kiungo mshambuliaji kutoka Prisons ya Mbeya pia, mohammed Mkopi.
Mkopi
amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Mbeya City ambayo imesaini
mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 300 kupitia bidhaa
za betri za magari za RB kutoka kwa Bin Slum.
Awali,
Mbeya City ilitaka kumchukua Didier Kavumbagu kutoka Azam FC, lakini
raia huyo wa Burundi aliamua kwenda nchini Vietnam ambako ameanza maisha
mapya ya soka.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: