
Posted by On the spot Tz
3:26:00 PM
0
Siku
moja tu baada ya kuingia mkataba mpya na kampuni maarufu ya kuuza
matairi nchini ya Bin Slum Tyres, klabu uya Mbeya City imeanza kuonyesha
jeuri ya fedha.
Mbeya City imeingia mkataba na kiungo mshambuliaji kutoka Prisons ya Mbeya pia, mohammed Mkopi.
Mkopi
amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Mbeya City ambayo imesaini
mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 300 kupitia bidhaa
za betri za magari za RB kutoka kwa Bin Slum.
Awali,
Mbeya City ilitaka kumchukua Didier Kavumbagu kutoka Azam FC, lakini
raia huyo wa Burundi aliamua kwenda nchini Vietnam ambako ameanza maisha
mapya ya soka.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: