
Posted by On the spot Tz
6:12:00 PM
0
Pamoja na kuonekana ina mwendo wa kusua lakini Ureno imefanikiwa kufuzu kucheza robo fainali ya Euro ikiwa ni baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ngumu ya Croatia.
Ureno
inayoongozwa na nahodha wake Cristiano Ronaldo, ilipata bao pekee
katika dakika ya 117 baada ya Ronaldo kupiga shuti kali, kipa akatema na
Ricardo Quaresma akamalizia kwa kichwa.
Croatia (4-2-3-1): Subasic,
Srna, Corluka (Kramaric 120), Vida, Strinic, Modric, Badelj, Brozovic,
Rakitic (Pjaca 110), Perisic, Mandzukic (Kalinic 88)
Subs not used: Vargic, Vrsaljiko, Jedvaj, Kovacic, Kalinic, Schildenfeld, Rog, Coric, Cop
Portugal (4-2-3-1):
Rui Patricio, Soares, Pepe, Fonte, Guerreiro, Joao Mario (Quaresma 87),
Adrien Silva (Danilo 108), Carvalho, Andre Gomes (Renato Sanches 50),
Nani, Ronaldo
Subs not used: Bruno Alves, Joao Moutinho, Eder, Vieirinha, Lopes, Rafa Silva, Eliseu, Eduardo
Booked: Carvalho
Scorers: Quaresma 117
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: