Posted by On the spot Tz
6:12:00 PM
0
Pamoja na kuonekana ina mwendo wa kusua lakini Ureno imefanikiwa kufuzu kucheza robo fainali ya Euro ikiwa ni baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ngumu ya Croatia.
Ureno
inayoongozwa na nahodha wake Cristiano Ronaldo, ilipata bao pekee
katika dakika ya 117 baada ya Ronaldo kupiga shuti kali, kipa akatema na
Ricardo Quaresma akamalizia kwa kichwa.
Croatia (4-2-3-1): Subasic,
Srna, Corluka (Kramaric 120), Vida, Strinic, Modric, Badelj, Brozovic,
Rakitic (Pjaca 110), Perisic, Mandzukic (Kalinic 88)
Subs not used: Vargic, Vrsaljiko, Jedvaj, Kovacic, Kalinic, Schildenfeld, Rog, Coric, Cop
Portugal (4-2-3-1):
Rui Patricio, Soares, Pepe, Fonte, Guerreiro, Joao Mario (Quaresma 87),
Adrien Silva (Danilo 108), Carvalho, Andre Gomes (Renato Sanches 50),
Nani, Ronaldo
Subs not used: Bruno Alves, Joao Moutinho, Eder, Vieirinha, Lopes, Rafa Silva, Eliseu, Eduardo
Booked: Carvalho
Scorers: Quaresma 117
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...














No comments: