Posted by On the spot Tz
8:31:00 AM
0
Manchester United sasa wamepania kurejesha heshima yao baada ya kuwasilisha maombi kwenye klabu ya Barcelona kumtaka kumsajili Lionel Messi.
Klabu hiyo maarufu duniani, inataka kurejesha heshima na kucheza katika Ligi ya Mabingwa Ulaya kama ilivyokuwa katika enzi za Alex Ferguson.
Imeelezwa Messi hana raha Hispania baada ya kuandamwa na kesi za masuala ya kodi. Kesi hizo bado zinaendelea.
Manchester United imewasilisha mara mbili ndani ya wiki tatu maombi ya kumtaka Messi.
Kama itafanikiwa bado italipa kiasi kikubwa cha uhamisho kuliko kile Real Madrid walicholipa kumpata Gareth Bale kutoka Tottenham.
Man United tayari imemnasa Kocha maarufu Jose Mourinho ikionekana ni sehemu ya kutaka kurejesha heshima yake.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: