Posted by On the spot Tz
3:09:00 AM
0
![]() |
| MANE |
Senegal imejihakikishia kucheza Kombe la Mataifa Afrika baada ya kuitwanga Burundi kwa maba0 2-0 ikiwa nyumbani Bujumbura.
Mshambuliaji hatari wa Southampton ya England, Sadio Mane na Biram Diouf ndiyo walioimaliza Burundi kwa kufunga bao moja kila mmoja.
TAMBWE
Ushindi huo unaifanya Senegal kufikisha pointi 15 na kuziacha Burundi na Namibia zikiwa na pointi 6 kila moja katika nafasi ya pili na tatu katika kundi K.
Washambuliaji Amissi Tambwe wa Yanga na Didier Kavumbagu raia wa Burundi, ambao wameshindwa kuivusha timu yao tokea mechi za awali, nao wataikosa michuano hiyo kama ilivyo kwa wachezaji nyota kutoka Tanzania.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: