Posted by On the spot Tz
3:09:00 AM
0
![]() |
| MANE |
Senegal imejihakikishia kucheza Kombe la Mataifa Afrika baada ya kuitwanga Burundi kwa maba0 2-0 ikiwa nyumbani Bujumbura.
Mshambuliaji hatari wa Southampton ya England, Sadio Mane na Biram Diouf ndiyo walioimaliza Burundi kwa kufunga bao moja kila mmoja.
TAMBWE
Ushindi huo unaifanya Senegal kufikisha pointi 15 na kuziacha Burundi na Namibia zikiwa na pointi 6 kila moja katika nafasi ya pili na tatu katika kundi K.
Washambuliaji Amissi Tambwe wa Yanga na Didier Kavumbagu raia wa Burundi, ambao wameshindwa kuivusha timu yao tokea mechi za awali, nao wataikosa michuano hiyo kama ilivyo kwa wachezaji nyota kutoka Tanzania.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: