MANE WA SOUTHAMPTON AIMALIZA BURUNDI NYUMBANI TAMBWE AKISHINDWA KUIKOA  MANE,,,,,,
MANE

Senegal imejihakikishia kucheza Kombe la Mataifa Afrika baada ya kuitwanga Burundi kwa maba0 2-0 ikiwa nyumbani Bujumbura.

Mshambuliaji hatari wa Southampton ya England, Sadio Mane na Biram Diouf ndiyo walioimaliza Burundi kwa kufunga bao moja kila mmoja.
                                              TAMBWE
Ushindi huo unaifanya Senegal kufikisha pointi 15 na kuziacha Burundi na Namibia zikiwa na pointi 6 kila moja katika nafasi ya pili na tatu katika kundi K.
Washambuliaji Amissi Tambwe wa Yanga na Didier Kavumbagu raia wa Burundi, ambao wameshindwa kuivusha timu yao tokea mechi za awali, nao wataikosa michuano hiyo kama ilivyo kwa wachezaji nyota kutoka Tanzania.
«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post


No comments:

Leave a Reply