BRAZIL YANG'ANG'ANIWA 0-0 NA ECUADOR COPA AMERICA, COLOMBIA YAIPIGA 2-0 MAREKANI,,,,,
Kiungo wa Brazil, Willian akipiga mpira mbele ya kipa wa Ecuador, Dreer katika mchezo wa ufunguzi wa Copa America usiku wa kuamkia leo mjini California, Marekani. Timu hizo zilitoka sare ya 0-0.  

Sebastian Perez wa Colombia (kulia) akipasua katikati ya wachezaji wa Marekani katika mchezo wa ufunguzi wa Copa America jana mjini Santa Clara. Ecuador ilishinda 2-0, mabao ya Cristian Zapata na James Rodriguez kwa penalti.
«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post


No comments:

Leave a Reply