Posted by On the spot Tz
3:01:00 AM
0
Binti wa bondia gwiji, Muhammad Ali aliyefariki dunia jana, ameelezea namna moyo wa baba yake kuendelea kupiga kwa dakika 30 hata baada ya kila kiungo chake kuonekana kimetulia.
Hana Ali, amesema moyo wa baba yake uliendelea kupiga kwa dakika 30 baada ya kila kiungo chake kuacha kufanya kazi.
Binti huyo amesema waliendelea kumkumbatia na kumuombea Kiislamu huku mwisho akisisitiza wana furaha kwa kuwa baba yao amepumzika.
Ali ndiye bondia maarufu kuliko wote waliowahi kutokea katika historia ya ngumi za kulipwa duniani.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...






No comments: