Posted by On the spot Tz
2:48:00 PM
0

JUMA ABDUL
Beki Juma Abdul ameanza mazoezi taratibu jijini Dar es Salaam ikiwa ni baada ya kukaa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki moja.
Yanga ipo mjini Antalya, Uturuki ikijiandaa dhidi ya TP Mazembe, mechi itakayopigwa Jumanne ijayo jijini Dar.
Juma
amekuwa majeruhi na alilazimika kubaki nchini wakati Yanga ikisafiri
kwenda Uturuki kuweka kambi na baadaye kwenda Algeria kuivaa Mo Bejaia.
Yanga imepoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Mo Bejaia katika mechi yake ya kwanza ya Kombe la Shirikisho hatua ya makundi.
Beki
huyo wa kulia maarufu kwa ukunjaji krosi zenye macho, ameanza mazoezi
ya taratibu na ataendelea taratibu kutokana na maelekezo ya dakitari.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: