Posted by On the spot Tz
1:48:00 PM
0
Mzuka wa nusu fainali za Copa America ni usiku wa kuamkia kesho na mechi zote utaziona kupitia StarTimes.
Mechi ya kwanza ni usiku wa kuamkia kesho Jumatano wakai wenyeji Marekani watakapokuwa na kazi ngumu dhidi ya magwiji Argentina. Mechi hii itachezwe Saa 9 alfajiri.
Usiku wa kuamkia keshokutwa, yaani Alhamisi Saa 10 Alfajiri, Colombia watakutana na Chile maarufu kama watoa vipigo.
Kwa mashabiki wa soka nchini wanaweza kushuhudia mambo haya kupitia king’amuzi bora cha StarTimes tu.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: