
Posted by On the spot Tz
1:48:00 PM
0
Mzuka wa nusu fainali za Copa America ni usiku wa kuamkia kesho na mechi zote utaziona kupitia StarTimes.
Mechi ya kwanza ni usiku wa kuamkia kesho Jumatano wakai wenyeji Marekani watakapokuwa na kazi ngumu dhidi ya magwiji Argentina. Mechi hii itachezwe Saa 9 alfajiri.
Usiku wa kuamkia keshokutwa, yaani Alhamisi Saa 10 Alfajiri, Colombia watakutana na Chile maarufu kama watoa vipigo.
Kwa mashabiki wa soka nchini wanaweza kushuhudia mambo haya kupitia king’amuzi bora cha StarTimes tu.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: