Posted by On the spot Tz
3:19:00 PM
0
| CHIRWA |
SIKU
chache baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Yanga,
uongozi wa Yanga umemkabidhi jezi namba saba mshambuliaji wake Mzambia,
Obrey Chirwa.
Chirwa
alitua nchini wiki iliyopita akitokea FC Platinum ya Zimbabwe aliyokuwa
anaichezea pamoja na mshambuliaji tegemeo, Donald Ngoma.
Mzambia
huyo, alisaini kuichezea Yanga akichukua nafasi ya Mniger, Issoufou
Aboubacar aliyesitishiwa mkataba wake wa kuendelea kukipiga Jangwani
hivi karibuni.
Meneja wa timu hiyo, Hafidh Saleh alisema jezi iliyobaki ni namba saba iliyokuwa inavaliwa na Mbrazili, Andrey Coutihno.
COUNTINHO
Saleh
alisema, jezi hiyo huenda akaanza kuonekana akiivaa mechi na Mazembe
itakayochezwa Jumanne ijayo mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam.
"Chirwa
tumempatia jezi namba saba iliyokuwa ikivaliwa na Coutinho, jezi ambayo
haina mtu kwa hivi sasa tangu ameondoka Mbrazili huyo.
"Hivyo
jezi ataanza kuonekana akiivaa kwa kuanzia mechi na Mazembe na nyingine
zote zitakazofuata za michuano ya kimataifa,"alisema Saleh.
Chirwa akiwa anaichezea Platinum, alikuwa anaivaa jezi namba 9 inayovaliwa hivi sasa na beki raia wa Togo, Vincent Bossou.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: