Posted by On the spot Tz
2:08:00 AM
0

Wachezaji wa Manchester United wameonyesha hofu katakana na taarifa za ujio wa kocha Jose Mourinho anayeelezwa anatarajia kuchukua mikoba ya Louis van Gaal.
The Special One ndiye gumzo, kwamba atachukua mikoba ya van Gaal licha ya kocha huyo kuiwezesha Man United kubeba Kombe la FA.
Taarifa kutoka ndani ya Manchester United kupitia Sportsmail zimeeleza wachezaji wakongwe wa Man United wanaonyesha kutofurahishwa na hilo.
Huenda ni hofu ya kupoteza ajira, kwa kuwa wanaamini iwapo Mreno huyo atapata nafasi, lazima atafanya mabadiliko makubwa.
Hofu yao nyingine ni kwamba, Mourinho hawezi kwenda na mfumo kama wa van Gaal, hivyo atabadili mambo mengi na kuwachanganya.
Imeelezwa uongozi wa Man United, ulitoa pauni million 4 na kumpa Mourinho iliasijiunge na timu nyingine kusubiri waachane na van Gaal na kumchukua yeye.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: