Posted by On the spot Tz
8:58:00 AM
0

Jamal Emily Malinzi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema wazi kwamba halitaandaa michuano ya Kagame 2016.
TFF imesema kuwa suala la uandaaji wa michuano hiyo lilikuwa chini ya Zanzibar ambayo baadaye ilitangaza kujiondoa.
“TFF haikuwahi kusema itandaa michuano hiyo, ilikuwa chini ya Zanzibar ambayo imetangaza kujitoa. Maana yake mwanachama yoyote wa Cecafa anaweza kuingia na kusaidia.
“TFF iko katika wakati mgumu, moja ya timu, Yanga inashiriki michuano ya kimataifa na itacheza mechi mbili kwa mwezi, hakika itakuwa vigumu,” ilieleza sehemu ya kauli ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
Baada ya Zanzibar kujitoa dakika za mwisho, Cecafa ilitaka TFF kuingilia kati ya kuokoa jahazi kuhusiana na mashindano hayo ambayo kadiri siku zinavyosonga mbele, yamekuwa yakizidi kuyumba na huenda yanaweza kupotea siku moja.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: