Posted by On the spot Tz
8:58:00 AM
0

Jamal Emily Malinzi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema wazi kwamba halitaandaa michuano ya Kagame 2016.
TFF imesema kuwa suala la uandaaji wa michuano hiyo lilikuwa chini ya Zanzibar ambayo baadaye ilitangaza kujiondoa.
“TFF haikuwahi kusema itandaa michuano hiyo, ilikuwa chini ya Zanzibar ambayo imetangaza kujitoa. Maana yake mwanachama yoyote wa Cecafa anaweza kuingia na kusaidia.
“TFF iko katika wakati mgumu, moja ya timu, Yanga inashiriki michuano ya kimataifa na itacheza mechi mbili kwa mwezi, hakika itakuwa vigumu,” ilieleza sehemu ya kauli ya Rais wa TFF, Jamal Malinzi.
Baada ya Zanzibar kujitoa dakika za mwisho, Cecafa ilitaka TFF kuingilia kati ya kuokoa jahazi kuhusiana na mashindano hayo ambayo kadiri siku zinavyosonga mbele, yamekuwa yakizidi kuyumba na huenda yanaweza kupotea siku moja.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
No comments: