Posted by On the spot Tz
9:00:00 AM
0
Wakati wengi waliamini baada ya Newcastle United kuteremka daraja, Kocha Rafa Benitez angetimua zake, mambo yamekuwa tofauti.
Benitez amesema ataendelea kubaki Newcastle na kupambana kuirejesha Ligi Kuu England.
Benitez raia wa Hispania ni kocha mkubwa, amepita timu kubwa kama Liverpool, Inter Milan na Real Madrid. Ndiyo maana watu wengi waliamini angeondoka.
Lakini ameweka msisitizo kuwa anaendelea kubaki kuwa kocha wa Newcastle pale St James Park.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
No comments: