Posted by On the spot Tz
11:16:00 PM
0
Temer alichukua uongozi wa nchi hiyo baada ya rais Dilma Rousseff kusimamishwa kazi kwa muda wa siku 180 kufuatia uamuzi wa seneti. Hata hivyo iwapo Rousseff hatapatikana na kosa, atarejea tena kwenye wadhifa wake kama rais ndani ya miezi sita.
Lakini akihojiwa Temer alitoa kauli kana kwamba tayari kesi ya Rousseff imeamuliwa na hawezi tena kurejea madarakani.
Amesema, anataka kuirejesha nchi kwenye njia sahihi ndani ya miaka miwili na miezi saba ijayo.
Hata hivyo hakuondoa kabisa uwezekano wa kurejea kwa rais Rousseff.
Tagged with:
KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: