Posted by On the spot Tz
11:13:00 PM
0
| MAGURI |
Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema msimu ujao lazima mshambuliaji wa Stand United, Elias Maguri, awe mchezaji wake na anaamini atafanya mambo mengi makubwa.
Maguri ambaye anashika nafasi ya nne kwenye orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 15, mara kadhaa amekaririwa akisema kuwa hana furaha ndani ya timu hiyo.
Julio alisema: “Nataka kumsajili Maguri, kwanza ni mchezaji mzuri pia nataka kukilinda kiwango chake ambacho naona kuna watu wanataka kukiua.”
Pamoja na kufunga mabao hayo lakini Maguri amekuwa hana uhusiano mzuri na kocha mkorofi, Patrick Liewig ambaye falsafa yake ilikuwa ni chanzo cha kuporomoka kwa Simba.
Liewig ndiye aliyewaondoa wachezaji wote wakongwe waliokuwa Simba na kuamuamini vijana ambao wamekuwa tatizo badala ya mafanikio Simba.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: