Posted by On the spot Tz
4:06:00 AM
0
Wachezaji Yanga walionekana kupandwa na hasira baada ya kumuona mwamuzi aliyewachezesha katika mechi yao dhidi ya Esperanca ya Angola.
Mwamuzi huyo na wasaidizi wake kutoka nchini Madagascar, walipanda ndege hiyo kwenye Uwanja wa Ndege wa Lucapa kwenda jiji la Luanda.
Wachezaji Yanga walionekana kukasirishwa na kuwaona, wakaanza kushauriana kuwafuata na kuwapa makavu.
Lakini viongozi wa Yanga walifanikiwa kuwazuia na kuwaambia waachane naye maana angeweza kupata sababu wakati yeye ndiye aliyeboronga.
Katika mechi hiyo, mwamuzi alionekana kwamba alipania kuimaliza Yanga ikiwa ni pamoja na kutoa kadi nyekundu kwa nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’.
Mbali na hivyo aliacha faulo nyingi za wazi hasa zile alizochewa mshambuliaji Donald Ngoma.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...



No comments: