Posted by On the spot Tz
1:17:00 PM
0

Akongea na East Africa Tv Jaydee amsema ameamua kubadili jina hilo kwani hata yeye sasa hivi hatumii jina la Binti Machozi, akiamini msemo wa watu kuwa jina huzaa maana yake kwenye maisha.
"Band kwa sasa haaitwi tena Machozi Band, inatwa The Band, nilibadilisha miaka miwili iliyopita na kwasababu sasa hivi mwenyewe sikutaka kuitwa binti machozi, watu wanasema jina unaloitwa linarelate na maisha yako, so nikaamua kubadili, kwa hiyo Machozi Band haipo tena imekufa, kwa sasa itakuwa ni lady jaydee and the band", alisema Jay dee.
Jaydee ambaye mwisho wa wiki hii anayatajia kufanya tamasha kubwa la 'Naamka tena', amesema tamasha hilo litakuwa ni la masaa matatu bila kupumzika, kwani ana nyimbo zaidi ya 100 ambazo zinaweza zikamfanya afanye show zaidi ya masaa matatu.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: