Posted by On the spot Tz
1:29:00 AM
0

SADIO MANE
Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Southampton dakika za 28, 57 na 68 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Manchester City Uwanja wa St. Mary's katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo. Bao lingine la Watakatifu limefungwa na Shane Long dakika ya 25, wakati ya City yamefungwa na Mnigeria Kelechi Promise Iheanacho dakika za 44 na 78 .
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments: