Posted by On the spot Tz
1:22:00 AM
0

DAVIDO
Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini Uingereza.
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.
Ngoja tuone nini kitatokea baada ya tukio hilo kama ni kweli Davido amelifanya au ilikuwa ni kutafuta kick ya lebo yake ya DMW aliyoianzisha hivi karibuni.
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.
Ngoja tuone nini kitatokea baada ya tukio hilo kama ni kweli Davido amelifanya au ilikuwa ni kutafuta kick ya lebo yake ya DMW aliyoianzisha hivi karibuni.
Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments: