DAVIDO  AMPIGA  SHABIKI  WAKE  NCHINI  UINGEREZA,,,

                             DAVIDO
Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini Uingereza.


Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli au ilikuwa ni drama.

Ngoja tuone nini kitatokea baada ya tukio hilo kama ni kweli Davido amelifanya au ilikuwa ni kutafuta kick ya lebo yake ya DMW aliyoianzisha hivi karibuni.



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post


No comments:

Leave a Reply