Posted by On the spot Tz
5:06:00 AM
0
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani, Shaffer Chimere Smith maarufu kwa jina la NE-YO amewasili katika uwanja wa ndege wa kimtaifa wa Julius Nyerere (JNIA) tayari kwa kutoa burudani ya aina yake katika tamasha kubwa la “Jembeka Festival” litakalofanyika leo tarehe 21 May jijini Mwanza.
Mara baada ya kuwasili msanii huyo alisema alipelekwa katika hotel ya Hyatt Regency ambako yeye na timu yake nzima wamefikia na baadaye alijumuika na waalikwa wachache katika “Meet & Greet Party”
Akizungumza mara baada ya NE-YO kuwasili hotelini hapo Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao alisema “tumefurahi sana kuwa na NE-YO hapa Tanzania na tunataka kuhakikisha kwamba tunawapatia wateja wetu burudani ya Tamasha la Jembeka Festival 2016 limeandaliwa na kampuni ya Jembe chini ya udhamini mkuu wa kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania litafanyika katika uwanja wa CCM Kirumba.
Vodacom Tanzania imedhamini ujio wa mwanamuziki huyu ili kuwapatia burudani ya kimataifa wateja wake na watanzania wote kwa ujumla. NE-YO ambaye ataimba steji moja na wanamuziki wa Tanzania wakiwemo Fid Q, Juma Nature, Mr Blue na wengine wengi, sambamba nao pia atakuwepo mwanamuziki nyota wa Afrika Mashariki, Diamond Platnumz.
Kumbuka wawili hawa wako katika matayarisho ya ngoma yao ambapo Diamond amemshirikisha NE-YO na kwa mujibu wa Diamond Platnumz watatambulisha wimbo huo leo katika tamasha la “Jembeka Festival”
Mkurugenzi wa Vodacom pia aliwahimiza wapenda burudani wote kununua tiketi zao mapema kujiandaa na tamasha kubwa la aina yake . Wateja wa Vodacom wanaweza kununua tiketi kuhudhuria tamasha hili kubwa kupitia M-Pesa kwa kufuata hatua zifuatazo.
1. Piga *150*00# chagua 4 LIPA KWA M-PESA
2. Chagua 3 CHAGUA KWENYE ORODHA
3. Chagua 2 MANUNUZI
4. Chagua 3 JEMBEKA FESTIVAL
5. Weka namba ya kumbukumbu – 200200
6. Weka kiasi
7. Weka PIN yako ya M-PESA
8. Bonyesha 1 kuthibitisha.
Tukutane Jembeka Festival
Unaweza kufahamu zaidi kuhusu mtandao wa 4G na maeneo unapopatikana kwa kubofya HAPA
http://vda.cm/HapaKasiTu
onthespottz.blogspot.com
Mara baada ya kuwasili msanii huyo alisema alipelekwa katika hotel ya Hyatt Regency ambako yeye na timu yake nzima wamefikia na baadaye alijumuika na waalikwa wachache katika “Meet & Greet Party”
Akizungumza mara baada ya NE-YO kuwasili hotelini hapo Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao alisema “tumefurahi sana kuwa na NE-YO hapa Tanzania na tunataka kuhakikisha kwamba tunawapatia wateja wetu burudani ya Tamasha la Jembeka Festival 2016 limeandaliwa na kampuni ya Jembe chini ya udhamini mkuu wa kampuni ya mawasiliano nchini Vodacom Tanzania litafanyika katika uwanja wa CCM Kirumba.
Vodacom Tanzania imedhamini ujio wa mwanamuziki huyu ili kuwapatia burudani ya kimataifa wateja wake na watanzania wote kwa ujumla. NE-YO ambaye ataimba steji moja na wanamuziki wa Tanzania wakiwemo Fid Q, Juma Nature, Mr Blue na wengine wengi, sambamba nao pia atakuwepo mwanamuziki nyota wa Afrika Mashariki, Diamond Platnumz.
Kumbuka wawili hawa wako katika matayarisho ya ngoma yao ambapo Diamond amemshirikisha NE-YO na kwa mujibu wa Diamond Platnumz watatambulisha wimbo huo leo katika tamasha la “Jembeka Festival”
Mkurugenzi wa Vodacom pia aliwahimiza wapenda burudani wote kununua tiketi zao mapema kujiandaa na tamasha kubwa la aina yake . Wateja wa Vodacom wanaweza kununua tiketi kuhudhuria tamasha hili kubwa kupitia M-Pesa kwa kufuata hatua zifuatazo.
1. Piga *150*00# chagua 4 LIPA KWA M-PESA
2. Chagua 3 CHAGUA KWENYE ORODHA
3. Chagua 2 MANUNUZI
4. Chagua 3 JEMBEKA FESTIVAL
5. Weka namba ya kumbukumbu – 200200
6. Weka kiasi
7. Weka PIN yako ya M-PESA
8. Bonyesha 1 kuthibitisha.
Tukutane Jembeka Festival
Unaweza kufahamu zaidi kuhusu mtandao wa 4G na maeneo unapopatikana kwa kubofya HAPA
http://vda.cm/HapaKasiTu
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: