

Posted by On the spot Tz
10:58:00 PM
0
KOCHA
mpya wa Yanga, Mzambia George Lwandamina anatarajiwa kutua nchini
Jumatano baada ya kumalizana na klabu yake ya sasa, Zesco United ya
kwao.
Issued by
Kwa pamoja, Justin Mumba na Katebe Chengo Mtendaji Mkuu wa ZESCO na Ofisa Habari wametoa taarifa ya kuachana na Lwandamina.
Lwandamina ambaye amekwishamalizana na uongozi wa Yanga jana aliiongoza Zesco United katika mechi ya Ligi Kuu ya Zambia dhidi ya Nkana FC na leo anatarajiwa kuwa na kikao na waajiri wake.
“ZESCO United FC inapenda kutangaza kwamba Kocha Mkuu, George Lwandamina asubuhi hii amewasilisha barua ya kujiuzulu mara moja. Klabu imeafiki kujiuzulu kwake na inapenda kumshukuru kwa kazi na mchango wake alipokuwa kazini," wamesema.
Uongozi wa Yanga unataka kumuondoa kocha Hans van der Pluijm na Wasaidizi wake wote, Juma Mwambusi, kocha wa makipa Juma Pondamali na Meneja Hafidh Saleh wote wazalendo na kuwaleta Mzambia Lwandamina atakayekuwa Kocha Mkuu, akisaidiwa na wazalendo Charles Boniface Mkwasa, Manyika Peter kocha wa makipa na Meneja, Sekilojo Chambua.
Hata hivyo, mpango huo unakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wadau wa timu hiyo na wapenzi wanaoamini Pluijm bao chaguo sahihi Jangwani.
Ikumbukwe wiki mbili zilizopita Pluijm alisusa kwa siku tatu kufanya kazi Yanga na kuwasilisha barua ya kujiuzulu baada ya kukerwa na taarifa za ujio wa Lwandamina.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba aliingilia kati suala hilo na kufanikiwa kumrejesha kazini Pluijm. Waziri Mwigulu ambaye ni mpenzi na mwanachama wa Yanga, kwanza aliushauri uongozi kumrudisha Pluijm na baadaye akaenda kuzungumza na kocha huyo pia kumshauri akubali kurejea.
Baadaye akazikutanisha pande zote mbili, Pluijm na uongozi wa Yanga katika kikao ambacho inaelezwa makubaliano yalifikiwa kabla ya uongozi wa Yanga kumemuandikia barua Mholanzi huyo kumuomba radhi.
Issued by
Kwa pamoja, Justin Mumba na Katebe Chengo Mtendaji Mkuu wa ZESCO na Ofisa Habari wametoa taarifa ya kuachana na Lwandamina.
Lwandamina ambaye amekwishamalizana na uongozi wa Yanga jana aliiongoza Zesco United katika mechi ya Ligi Kuu ya Zambia dhidi ya Nkana FC na leo anatarajiwa kuwa na kikao na waajiri wake.
“ZESCO United FC inapenda kutangaza kwamba Kocha Mkuu, George Lwandamina asubuhi hii amewasilisha barua ya kujiuzulu mara moja. Klabu imeafiki kujiuzulu kwake na inapenda kumshukuru kwa kazi na mchango wake alipokuwa kazini," wamesema.
Uongozi wa Yanga unataka kumuondoa kocha Hans van der Pluijm na Wasaidizi wake wote, Juma Mwambusi, kocha wa makipa Juma Pondamali na Meneja Hafidh Saleh wote wazalendo na kuwaleta Mzambia Lwandamina atakayekuwa Kocha Mkuu, akisaidiwa na wazalendo Charles Boniface Mkwasa, Manyika Peter kocha wa makipa na Meneja, Sekilojo Chambua.
Hata hivyo, mpango huo unakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wadau wa timu hiyo na wapenzi wanaoamini Pluijm bao chaguo sahihi Jangwani.
Ikumbukwe wiki mbili zilizopita Pluijm alisusa kwa siku tatu kufanya kazi Yanga na kuwasilisha barua ya kujiuzulu baada ya kukerwa na taarifa za ujio wa Lwandamina.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba aliingilia kati suala hilo na kufanikiwa kumrejesha kazini Pluijm. Waziri Mwigulu ambaye ni mpenzi na mwanachama wa Yanga, kwanza aliushauri uongozi kumrudisha Pluijm na baadaye akaenda kuzungumza na kocha huyo pia kumshauri akubali kurejea.
Baadaye akazikutanisha pande zote mbili, Pluijm na uongozi wa Yanga katika kikao ambacho inaelezwa makubaliano yalifikiwa kabla ya uongozi wa Yanga kumemuandikia barua Mholanzi huyo kumuomba radhi.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,309
No comments: