Posted by On the spot Tz
3:19:00 AM
0
Wiki hii kumekuwa na tetesi ambazo zinasambaa kwa kasi katika mitandao
ya kijamii zikidai kwamba malkia wa filamu, Wema Sepetu anatumia Madawa
ya kulevya ‘Unga’.
Tetesisi hiyo ambazo sio nzuri kwa mwigizaji huyo pamoja na watu wake wakaribu, zimeonyesha pia kuwagusa baadhi ya mashabiki wa mwigizaji huyo ambapo wanalazimika kutafuta ukweli wa tetesi hizo kwa namna yoyote.
Mmoja kati ya mashabiki wa malkia huyo kupitia mtandao wa instagram, aliamua kumuuliza meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda kuhusu tuhuma hizo.
Tetesisi hiyo ambazo sio nzuri kwa mwigizaji huyo pamoja na watu wake wakaribu, zimeonyesha pia kuwagusa baadhi ya mashabiki wa mwigizaji huyo ambapo wanalazimika kutafuta ukweli wa tetesi hizo kwa namna yoyote.
Mmoja kati ya mashabiki wa malkia huyo kupitia mtandao wa instagram, aliamua kumuuliza meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda kuhusu tuhuma hizo.
Tagged with:
Burudani
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...



No comments: