
Posted by On the spot Tz
3:46:00 AM
0
Linapokuja suala la muziki mzuri hakuna mtu anaweza kutia neno akapingana na ukweli amabao wengi wameamua kuunga mkono,
Muziki wa Singeli umekuepo kwa kipindi kirefu lakini design kama wabongo tulio wengi tumeanza kuuelewa kupitia waimbaji watu kama Man Fongo na Sholo Mwamba.
ManFongo ni mshikaji ambae anazidi kujitengenezea Fanbase hasa kupitia shows za Fiesta ambazo zinaendelea mikoani.
Mkali huyo wa Ngoma ya "Hainaga Ushemeji" amejikuta akiingia kwenye bifu zito na mama wa mrembo Wema Sepetu baada ya kuongea kile kilichotajwa kuwa hakimuhusu huku mpinzani wake Sholo Mwamba akitajwa kuwa chanzo cha beef hilo.
Ubuyu uliozagaa unadai kuwa ManFongo aliongea vibaya kuhusu Mama Wema kilichopelekea Mam huyo kutokwa na povu lisilo la polepole.
GossipCop Soudy Brown hakusita kuwatafuta wawili hao ili watuweke sawa.
onthespottz.blogspot.comMuziki wa Singeli umekuepo kwa kipindi kirefu lakini design kama wabongo tulio wengi tumeanza kuuelewa kupitia waimbaji watu kama Man Fongo na Sholo Mwamba.
ManFongo ni mshikaji ambae anazidi kujitengenezea Fanbase hasa kupitia shows za Fiesta ambazo zinaendelea mikoani.
Mkali huyo wa Ngoma ya "Hainaga Ushemeji" amejikuta akiingia kwenye bifu zito na mama wa mrembo Wema Sepetu baada ya kuongea kile kilichotajwa kuwa hakimuhusu huku mpinzani wake Sholo Mwamba akitajwa kuwa chanzo cha beef hilo.
Ubuyu uliozagaa unadai kuwa ManFongo aliongea vibaya kuhusu Mama Wema kilichopelekea Mam huyo kutokwa na povu lisilo la polepole.
GossipCop Soudy Brown hakusita kuwatafuta wawili hao ili watuweke sawa.

Tagged with:
Burudani

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Utalipenda jibu la Martin Kadinda baada ya kuulizwa na shabiki kama Wema anatumia Madawa ya kulevya,,,,,,,,,,,
Wema: Nitalipa Pesa Matibabu ya Baba diamond,,,,,,,,,,,,,,,,,
Kijana Shoga Amtia Doa Mwanamuziki Raymond wa wasafi, Adai Wana Mahusiano,,,,,,,,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,191
No comments: