
Posted by On the spot Tz
6:40:00 AM
0
Wachina waliokuwa wakiukarabati Uwanja wa Uhuru wa jijini Dar, leo Jumatatu wameukabidhi mikononi mwa Serikali ya Tanzania baada ya kumalizika kwa marekebisho yake yaliyoanza mwaka 2013.
Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya nchini China ambayo ilikuwa ikisimamia marekebisho ya uwanja huo chini ya meneja wake mkuu, Cheng Longhai, walimkabidhi Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye katika hafla fupi iliyofanyika uwanja hapo, mapema hii leo.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa uwanja huo maarufu kwa jina la Shamba la Bibi, Nape alisema: “Ni jambo la busara kwa kila atakayeutumia uwanja huu kuwa mlinzi kwa mwenzake ili kulinda miundombinu yake ili udumu kwa miaka mingi zaidi kwani hii ni hazina yetu sote.”
Wakati huohuo, mbunifu wa michoro ya uwanja huo, Aloyse Peter Mushi, alisema: “Uwanja huu unaingiza watu waliokaa elfu 23, lakini wakikaa kwa kubanana wanafika elfu 25, tulianza marekebisho haya mwaka 2013, na tunashukuru leo hii umekamilika na serikali kukabidhiwa.”
Baada ya uwanja huo kukamilika na kukabidhiwa mikononi mwa serikali, sasa utaanza kutumika kwa mechi mbalimbali ikiwemo za Ligi Kuu Bara msimu huu. Mara ya mwisho kwa uwanja huo kutumika kwa mechi kama hizo ilikuwa ni mwaka 2010.
onthespottz.blogspot.com
Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya nchini China ambayo ilikuwa ikisimamia marekebisho ya uwanja huo chini ya meneja wake mkuu, Cheng Longhai, walimkabidhi Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye katika hafla fupi iliyofanyika uwanja hapo, mapema hii leo.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa uwanja huo maarufu kwa jina la Shamba la Bibi, Nape alisema: “Ni jambo la busara kwa kila atakayeutumia uwanja huu kuwa mlinzi kwa mwenzake ili kulinda miundombinu yake ili udumu kwa miaka mingi zaidi kwani hii ni hazina yetu sote.”
Wakati huohuo, mbunifu wa michoro ya uwanja huo, Aloyse Peter Mushi, alisema: “Uwanja huu unaingiza watu waliokaa elfu 23, lakini wakikaa kwa kubanana wanafika elfu 25, tulianza marekebisho haya mwaka 2013, na tunashukuru leo hii umekamilika na serikali kukabidhiwa.”
Muonekano wa Uwanja wa Uhuru |
Muonekano wa Uwanja wa Uhuru |
Mara baada ya makabidhiano |
Mwakilishi wa Kampuni ya Beijing Constructionakifafanua jambo wakati wa makabidhiano hayo. |
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akipata maelekezo kutoka kwa katibu mkuu wa wizara yake, Profesa Elisante Ole Gabriel.
|
Waziri Nape akizungumza. |
Baada ya uwanja huo kukamilika na kukabidhiwa mikononi mwa serikali, sasa utaanza kutumika kwa mechi mbalimbali ikiwemo za Ligi Kuu Bara msimu huu. Mara ya mwisho kwa uwanja huo kutumika kwa mechi kama hizo ilikuwa ni mwaka 2010.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Usikose Bundesliga msimu wa tatu ndani ya startimes.
FULL TIME : Simba 1 - 0 Rayon sports katika mchezo wa Simba Day.
DK 45 : Zimemalizika Simba 1 - 0 Rayon sports.
LWANDAMINA AJIUZULU RASMI ZESCO SASA MKUU PANDE MKUU SAWA NDANI YA YANGA SC,,,,,,,,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
66,177
No comments: