Posted by On the spot Tz
6:40:00 AM
0
Wachina waliokuwa wakiukarabati Uwanja wa Uhuru wa jijini Dar, leo Jumatatu wameukabidhi mikononi mwa Serikali ya Tanzania baada ya kumalizika kwa marekebisho yake yaliyoanza mwaka 2013.
Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya nchini China ambayo ilikuwa ikisimamia marekebisho ya uwanja huo chini ya meneja wake mkuu, Cheng Longhai, walimkabidhi Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye katika hafla fupi iliyofanyika uwanja hapo, mapema hii leo.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa uwanja huo maarufu kwa jina la Shamba la Bibi, Nape alisema: “Ni jambo la busara kwa kila atakayeutumia uwanja huu kuwa mlinzi kwa mwenzake ili kulinda miundombinu yake ili udumu kwa miaka mingi zaidi kwani hii ni hazina yetu sote.”
Wakati huohuo, mbunifu wa michoro ya uwanja huo, Aloyse Peter Mushi, alisema: “Uwanja huu unaingiza watu waliokaa elfu 23, lakini wakikaa kwa kubanana wanafika elfu 25, tulianza marekebisho haya mwaka 2013, na tunashukuru leo hii umekamilika na serikali kukabidhiwa.”
Baada ya uwanja huo kukamilika na kukabidhiwa mikononi mwa serikali, sasa utaanza kutumika kwa mechi mbalimbali ikiwemo za Ligi Kuu Bara msimu huu. Mara ya mwisho kwa uwanja huo kutumika kwa mechi kama hizo ilikuwa ni mwaka 2010.
onthespottz.blogspot.com
Kampuni ya Beijing Construction Engineering Group (BCEG) ya nchini China ambayo ilikuwa ikisimamia marekebisho ya uwanja huo chini ya meneja wake mkuu, Cheng Longhai, walimkabidhi Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye katika hafla fupi iliyofanyika uwanja hapo, mapema hii leo.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa uwanja huo maarufu kwa jina la Shamba la Bibi, Nape alisema: “Ni jambo la busara kwa kila atakayeutumia uwanja huu kuwa mlinzi kwa mwenzake ili kulinda miundombinu yake ili udumu kwa miaka mingi zaidi kwani hii ni hazina yetu sote.”
Wakati huohuo, mbunifu wa michoro ya uwanja huo, Aloyse Peter Mushi, alisema: “Uwanja huu unaingiza watu waliokaa elfu 23, lakini wakikaa kwa kubanana wanafika elfu 25, tulianza marekebisho haya mwaka 2013, na tunashukuru leo hii umekamilika na serikali kukabidhiwa.”
| Muonekano wa Uwanja wa Uhuru |
| Muonekano wa Uwanja wa Uhuru |
| Mara baada ya makabidhiano |
| Mwakilishi wa Kampuni ya Beijing Constructionakifafanua jambo wakati wa makabidhiano hayo. |
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akipata maelekezo kutoka kwa katibu mkuu wa wizara yake, Profesa Elisante Ole Gabriel.
|
| Waziri Nape akizungumza. |
Baada ya uwanja huo kukamilika na kukabidhiwa mikononi mwa serikali, sasa utaanza kutumika kwa mechi mbalimbali ikiwemo za Ligi Kuu Bara msimu huu. Mara ya mwisho kwa uwanja huo kutumika kwa mechi kama hizo ilikuwa ni mwaka 2010.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: