
Posted by On the spot Tz
2:09:00 AM
0
Kocha wa New York City FC, Patrick Vieira ambaye ni kiungo wa zamani wa Arsenal na Inter Milan amempa ushauri Mfaransa mwenzake, Paul Pogba kuwa anatakiwa kuonyesha uwezo kuthitisha thamani yake na kutotaka kufanya yake yanayofanywa na mastaa wengine wa dunia.
Pogba ambaye ana umri wa miaka 23 anatajwa kuwa ndiye atakuwa Vieira mpya katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa, amesajiliwa Manchester United hivi karibuni kwa dau la pauni milioni 89, ada ambayo imemfanya kuwa mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi kununuliwa katika soka duniani.
“Mimi ni shabiki mkubwa wa Pogba, nafikiri ni mchezaji wa kiwango cha juu, hilo halina ubishi, atakutana na presha kubwa ambayo yote atatakiwa kuibeba yeye na kuidhibiti.
“Kama akiona atashinda mechi kwa kutegemea nguvu zake pekee hilo ni kosa kubwa, anatakiwa aitengeneze timu ili iwe inabalansi na siyo yeye kutumia nguvu kubwa, nimesoma sehemu kutoka kwa Mourinho kuwa atafanya mazuri na kuwa kama Messi au Ronaldo.
“Kama watu wanategemea mabao 40 katika msimu mmoja hilo siyo jukumu lake, asiwaige hao, yeye anatakiwa kuwa na utambulisho wake,” alisema Vieira.
onthespottz.blogspot.com
Pogba ambaye ana umri wa miaka 23 anatajwa kuwa ndiye atakuwa Vieira mpya katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa, amesajiliwa Manchester United hivi karibuni kwa dau la pauni milioni 89, ada ambayo imemfanya kuwa mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi kununuliwa katika soka duniani.
“Mimi ni shabiki mkubwa wa Pogba, nafikiri ni mchezaji wa kiwango cha juu, hilo halina ubishi, atakutana na presha kubwa ambayo yote atatakiwa kuibeba yeye na kuidhibiti.
“Kama akiona atashinda mechi kwa kutegemea nguvu zake pekee hilo ni kosa kubwa, anatakiwa aitengeneze timu ili iwe inabalansi na siyo yeye kutumia nguvu kubwa, nimesoma sehemu kutoka kwa Mourinho kuwa atafanya mazuri na kuwa kama Messi au Ronaldo.
“Kama watu wanategemea mabao 40 katika msimu mmoja hilo siyo jukumu lake, asiwaige hao, yeye anatakiwa kuwa na utambulisho wake,” alisema Vieira.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
65,394
No comments: