

Posted by On the spot Tz
1:37:00 PM
0

Uongozi wa Simba, umejipanga kuwasilisha barua kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukipinga na kutaka maelezo kuhusiana na uamuzi wa shirikisho hilo kumruhusu beki, Hassan Kessy kucheza mechi ya Ngao ya Jamii.
Kessy alicheza mechi hiyo wakati Yanga ikiivaa Azam FC na kupoteza kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 90 za sare ya 2-2.
Kessy ambaye alikosa penalti katika mchezo huo, ikiwa ni penalti yake ya kwanza katika mechi ya kwanza Yanga, ana mgogoro wa usajili kwa kuwa Simba imesema alisajiliwa wakati akiwa bado na mkataba na Simba.
“Kweli kuna juhudi zinafanywa na barua inaweza kuwasilishwa TFF leo, Simba tunataka kupata ufumbuzi wa jambo hilo,” kilieleza chanzo.

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Usikose Bundesliga msimu wa tatu ndani ya startimes.
FULL TIME : Simba 1 - 0 Rayon sports katika mchezo wa Simba Day.
DK 45 : Zimemalizika Simba 1 - 0 Rayon sports.
LWANDAMINA AJIUZULU RASMI ZESCO SASA MKUU PANDE MKUU SAWA NDANI YA YANGA SC,,,,,,,,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
66,321
No comments: