Posted by On the spot Tz
1:37:00 PM
0

Uongozi wa Simba, umejipanga kuwasilisha barua kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ukipinga na kutaka maelezo kuhusiana na uamuzi wa shirikisho hilo kumruhusu beki, Hassan Kessy kucheza mechi ya Ngao ya Jamii.
Kessy alicheza mechi hiyo wakati Yanga ikiivaa Azam FC na kupoteza kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 90 za sare ya 2-2.
Kessy ambaye alikosa penalti katika mchezo huo, ikiwa ni penalti yake ya kwanza katika mechi ya kwanza Yanga, ana mgogoro wa usajili kwa kuwa Simba imesema alisajiliwa wakati akiwa bado na mkataba na Simba.
“Kweli kuna juhudi zinafanywa na barua inaweza kuwasilishwa TFF leo, Simba tunataka kupata ufumbuzi wa jambo hilo,” kilieleza chanzo.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: