Posted by On the spot Tz
1:41:00 PM
0

Awali ilielezwa kwamba Yanga itarejea nchini mapema na kuachana na kambi ya Uturuki.
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro akalitbithisha hilo! Lakini taarifa nyingine za uhakika zimesema Yanga itaendelea na kambi yake ya Uturuki.
“Kweli kambi ya Uturuki itaendelea kama kawaida,” kilieleza chanzo.
“Tayari timu ipo Uturuki na leo itafanya mazoezi jioni kuanza rasmi maandalizi ya TP Mazembe.”
Yanga ilianzia Uturuki katika mji wa Antalya, baada ya hapo ikasafiri kwenda kucheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Shirikisho ambayo ilipoteza kwa bao 1-0.
Sasa imeanza maandalizi kwa ajili ya mechi yake ya pili ambayo itakuwa ni dhidi ya TP Mazembe pia ikiwa ni ya kwanza nyumbani na itapigwa wiki ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: