Posted by On the spot Tz
1:37:00 PM
0
NSAJIGWA
Beki nyota na nahodha wa zamani wa Yanga, Shadrack atamkabidhi kocha Hans van der Pluijm ripoti ya mechi kati ya TP Mazembe dhidi ya Medeama ya Ghana.
Nsajigwa alikuwa mjini Lubumbashi wakati TP Mazembe ikiiangamiza Medeama kwa mabao 3-1 katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Hata hivyo, Nsajigwa hawezi kusema hadharani chochote hadharani kuhusiana na alichoona hadi atakapomkabidhi ubora na udhaifu wa TP Mazembe lakini pia Medeama.
Baada ya kuishuhudia mechi hiyo, Nsajigwa atandaa ratiba na kumtumia Pluijm nchini Uturuki ambako inaendelea na kambi.
Yanga walimpeleka Nsajigwa ili kuishuhudia TP Mazembe ikipambana na Medeama kwa kuwa wao watakuwa dimbani kuwavaa Mazembe Jumanne ijayo.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...


No comments: