Posted by On the spot Tz
1:37:00 PM
0
NSAJIGWA
Beki nyota na nahodha wa zamani wa Yanga, Shadrack atamkabidhi kocha Hans van der Pluijm ripoti ya mechi kati ya TP Mazembe dhidi ya Medeama ya Ghana.
Nsajigwa alikuwa mjini Lubumbashi wakati TP Mazembe ikiiangamiza Medeama kwa mabao 3-1 katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Hata hivyo, Nsajigwa hawezi kusema hadharani chochote hadharani kuhusiana na alichoona hadi atakapomkabidhi ubora na udhaifu wa TP Mazembe lakini pia Medeama.
Baada ya kuishuhudia mechi hiyo, Nsajigwa atandaa ratiba na kumtumia Pluijm nchini Uturuki ambako inaendelea na kambi.
Yanga walimpeleka Nsajigwa ili kuishuhudia TP Mazembe ikipambana na Medeama kwa kuwa wao watakuwa dimbani kuwavaa Mazembe Jumanne ijayo.
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Shilingi Bilioni 3 na Mali za Bilioni 10 zataifishwa na TRA Kutoka kwa Wakwepa Kodi Bandari Kavu ya Azam,,,,,,,Mamlaka ya kukusanya kodi TRA kupitia madalali wa Yono Auction Mart wamekusanya mali za bilioni 3 pamoja na kutaifisha mali za b...


No comments: