Posted by On the spot Tz
8:39:00 AM
0
Wabunge wamelalamikia adhabu aliyopewa kijana wa Arusha aliyemtukana rais kuwa ni ndogo kwa kuwa mhalifu alipewa alipe kiasi cha fedha na kulipa kwa mafungu kwa kuwa alitenda kosa kubwa la kumdhalilisha mtu wa juu katika nchi hii
==========
My Take
Wabunge kuhoji Mamlaka ya Mahakama ni dalili mbaya ya Udikteta. Mahakama inapotoa Hukumu halafu anaibuka Mbunge wa CCM anahoji hukumu hiyo, kisha Waziri wa Sheria anaahidi kuileta hukumu Bungeni ni dalili mbaya sana kwa Utawala wa Sheria.
Hayo yemetokea leo Bungeni Dodoma, wakati Mbunge wa CCM Livingstone Lusinde alipohoji uhalali wa hukumu halali ya Mahakama dhidi ya Kijana aliyeshtakiwa kwa kumkashifu JPM. Kama serikali haijaridhika na hukumu basi ifuate sheria kwa kukata rufaa.
==========
My Take
Wabunge kuhoji Mamlaka ya Mahakama ni dalili mbaya ya Udikteta. Mahakama inapotoa Hukumu halafu anaibuka Mbunge wa CCM anahoji hukumu hiyo, kisha Waziri wa Sheria anaahidi kuileta hukumu Bungeni ni dalili mbaya sana kwa Utawala wa Sheria.
Hayo yemetokea leo Bungeni Dodoma, wakati Mbunge wa CCM Livingstone Lusinde alipohoji uhalali wa hukumu halali ya Mahakama dhidi ya Kijana aliyeshtakiwa kwa kumkashifu JPM. Kama serikali haijaridhika na hukumu basi ifuate sheria kwa kukata rufaa.
Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: