Posted by On the spot Tz
2:46:00 PM
0
![]() |
Thomas Ulimwengu |
Bada ya game kumalizika, ulimwengu amesema siri ya ushindi ya Mazembe inatokana na muunganiko wa professional players wengi wenye uzoefu kwenye timu yao.
“Nilisema mwanzoni kwamba tunakuja kuchukua ushindi, Yanga ni timu nzuri kama mlivyoona wamecheza vizuri lakini kama professional players wengi wenye uzoefu tumeonesha uwezo wa kupata ushindi kwenye mechi ya leo”, amesema Ulimwengu ambaye awali alisema yeye amekuja kucheza nyumani na siyo ugenini.
“Nawapa changamoto wachezaji wa Tanzania watoke wengi tupate professionals wengi ili tuweze kuisaidia timu yetu ya taifa.”
“Yanga bado wananafasi, mechi bado ni nyingi wakishinda wanaweza wakapita kwenye kundi na kwenda hatua inayofuata”, alimaza nyota huyo wa Stars ambaye kocha wake pia alimwagia sifa lukuki kutokana na kiwango alichokionesha kwenye mchezo wa leo.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: