Posted by On the spot Tz
2:46:00 PM
0
![]() |
| Thomas Ulimwengu |
Bada ya game kumalizika, ulimwengu amesema siri ya ushindi ya Mazembe inatokana na muunganiko wa professional players wengi wenye uzoefu kwenye timu yao.
“Nilisema mwanzoni kwamba tunakuja kuchukua ushindi, Yanga ni timu nzuri kama mlivyoona wamecheza vizuri lakini kama professional players wengi wenye uzoefu tumeonesha uwezo wa kupata ushindi kwenye mechi ya leo”, amesema Ulimwengu ambaye awali alisema yeye amekuja kucheza nyumani na siyo ugenini.
“Nawapa changamoto wachezaji wa Tanzania watoke wengi tupate professionals wengi ili tuweze kuisaidia timu yetu ya taifa.”
“Yanga bado wananafasi, mechi bado ni nyingi wakishinda wanaweza wakapita kwenye kundi na kwenda hatua inayofuata”, alimaza nyota huyo wa Stars ambaye kocha wake pia alimwagia sifa lukuki kutokana na kiwango alichokionesha kwenye mchezo wa leo.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: