
Posted by On the spot Tz
6:20:00 PM
0
Kiungo
wa Juventus, Paul Pogba na Mesut Ozil wa Arsenal wamekuwa wa kwanza
kukubali kusaidia kutoa fedha za kusaidia upasuaji wa watoto nchini
Tanzania.
Ozil
ambaye anaitumikia Ujerumani katika Kombe la Euro 2016 na Pogba ambaye
anaitumikia Ufaransa iliyo mwenyeji wa michuano hiyo, wametoa fedha
ambazo hazijaelezwa ni kiasi gani kupitia programu ya Big Foot.
Madaktari watawafanyia upasuaji watoto katika eneo la Ifunda mkoani Iringa. Imeelezwa wazazi wao hawakuwa na uwezo wa kifedha kuwawezesha kimatibabu.
Watoto wanaotakiwa kufanyiwa upasuaji ni 11, wachezaji wataotoa msaada huo ni wale wanaoshiriki michuano ya Euro 2016.
Ozil na Pogba wamekuwa wachezaji wa kwanza kujitokeza, lakini wanatakiwa wachezaji wengine 9 ili kusaidia matibabu ya watoto 11.
Big Foot ilianzishwa mwaka 2006 wakato Togo walipotoa msaada kwa watoto waliokuwa na mattaizo ya afya.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: