Posted by On the spot Tz
2:47:00 AM
0
James Rodriguez ameibuka shujaa wa Colombia baada ya kufunga bao la pili lililoiwezesha timu yake ya taifa kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Paraguay katika michuano ya Copa America na kutinga robo fainali.
James ambaye anakipiga Real Madrid ya Hispania ndiye nahodha mpya kinda wa kikosi hicho cha Colombia.
Colombia: Ospina, Arias, Zapata (Mina 90), Murillo, Diaz, Perez (Celis 58), Torres, Cuadrado, Rodriguez, Cardona (Moreno 87), Bacca
Subs not used: Robinson Zapata, Sanchez, Martinez, Aguilar, Medina, Dayro Moreno, Fabra, Roa, Bonilla
Goals: Bacca 12, Rodriguez 30
Booked: Murillo
Paraguay: Villar, Valdez, Gomez, Da Silva, Samudio, Almiron, Piris Da Motta (Ayala 46), Ortiz, Romero, Lezcano (Sanabria 67), Edgar Benitez (Jorge Benitez 46)
Subs not used: Silva, Balbuena, Piris, Rodrigo Rojas, Gonzalez, Riveros, Iturbe, Haedo Valdez, Barreto
Goals: Ayala 71
Booked: Lezcano
Sent off: Romero
Referee: Heber Roberto Lopes (Brazil)
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...












No comments: