

Posted by On the spot Tz
3:06:00 PM
0
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limetangaza kuindoa ES Setif ya Algeria katika michuano ya Ligi ya Mabingwa.
Caf
imetangaza kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter, kuwa
Setif wameondolewa baada ya mashabiki wao kufanya vurugu katika mechi
dhidi ya Mamelodi Sundowns maarufu kama Masandawana.
Mashabiki
hao walianzisha vurugu kubwa na kusababisha mchezo huo kusimama kwa
kipindi kirefu, baadaye mwamuzi akalazimika kumaliza mpira wakati
mashabiki walipoamua kurusha mawe, chupa na vitu vingine uwanjani
wakionyesha kutofurahishwa kwa kuwa timu yao ilikuwa nyuma kwa mabao
2-0.
Huenda hilo linaweza kuwa funzo kwa mashabiki wa soka nchini hasa wale wa Yanga ambao timu yao inashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho, kwamba hawatakiwi kufanya vitendo vya kihuni kwa kuwa Caf, hawana mchezo katika hilo.
Huenda hilo linaweza kuwa funzo kwa mashabiki wa soka nchini hasa wale wa Yanga ambao timu yao inashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho, kwamba hawatakiwi kufanya vitendo vya kihuni kwa kuwa Caf, hawana mchezo katika hilo.
Katika
hatua ya makundi ES Setif ilikuwa ikitane na Zamalek katika mechi yake
ya pili iliyopangwa kupigwa Juni 29 jijini Cairo, Misri lakini sasa
safari imewakuta.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA

On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.You May Also Like
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
- quantalfaggart says:
Best Casinos in Las Vegas, NV - Mapyro
The best casinos in Las... more
Pageviews
66,308
No comments: