Posted by On the spot Tz
3:06:00 PM
0
Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limetangaza kuindoa ES Setif ya Algeria katika michuano ya Ligi ya Mabingwa.
Caf
imetangaza kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter, kuwa
Setif wameondolewa baada ya mashabiki wao kufanya vurugu katika mechi
dhidi ya Mamelodi Sundowns maarufu kama Masandawana.
Mashabiki
hao walianzisha vurugu kubwa na kusababisha mchezo huo kusimama kwa
kipindi kirefu, baadaye mwamuzi akalazimika kumaliza mpira wakati
mashabiki walipoamua kurusha mawe, chupa na vitu vingine uwanjani
wakionyesha kutofurahishwa kwa kuwa timu yao ilikuwa nyuma kwa mabao
2-0.
Huenda hilo linaweza kuwa funzo kwa mashabiki wa soka nchini hasa wale wa Yanga ambao timu yao inashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho, kwamba hawatakiwi kufanya vitendo vya kihuni kwa kuwa Caf, hawana mchezo katika hilo.
Huenda hilo linaweza kuwa funzo kwa mashabiki wa soka nchini hasa wale wa Yanga ambao timu yao inashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho, kwamba hawatakiwi kufanya vitendo vya kihuni kwa kuwa Caf, hawana mchezo katika hilo.
Katika
hatua ya makundi ES Setif ilikuwa ikitane na Zamalek katika mechi yake
ya pili iliyopangwa kupigwa Juni 29 jijini Cairo, Misri lakini sasa
safari imewakuta.
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: