
Posted by On the spot Tz
2:55:00 PM
0
Bawa kubwa la ndege limeokotwa na wananchi jana katika Bahari ya Hindi
kwenye Kisiwa cha Kojani, Pemba. Haijafahamika ni la ndege ya shirika
gani.
Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa katika bahari ya hindi katika ufukwe wa kisiwa cha kojani pemba.
Bawa la ndege lililopatikana katika bahari ya kisiwa kidogo cha kojani huko kisiwani pemba zanzibar, yamezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wakazi wa kisiwa hicho huku wengi wakiamini ni bawa la ndege ya malaysia ambayo ilipotea bila kujuilikana hatima yake. Ndege ya shirika la Malaysia Airlines yenye chapa MH370, iliotoweka Machi 8 mwaka 2014 haijawahi onekana hadi leo.
Ingawa bado hakuna uhakika ni mabaki ya ndege gani, wataalamu wa usafiri wa anga wamenza hatua ya awali ya uchunguzi wa mabaki hayo ya ndege.
Taarifa zinasema tayari maofisa wa usalama wameanza kulifanyia uchunguzi bawa hilo na huenda si muda mrefu tukapata maelezo ya kutosha kutoka vyombo vinavyohusika
onthespottz.blogspot.com
Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa katika bahari ya hindi katika ufukwe wa kisiwa cha kojani pemba.
Bawa la ndege lililopatikana katika bahari ya kisiwa kidogo cha kojani huko kisiwani pemba zanzibar, yamezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wakazi wa kisiwa hicho huku wengi wakiamini ni bawa la ndege ya malaysia ambayo ilipotea bila kujuilikana hatima yake. Ndege ya shirika la Malaysia Airlines yenye chapa MH370, iliotoweka Machi 8 mwaka 2014 haijawahi onekana hadi leo.
Ingawa bado hakuna uhakika ni mabaki ya ndege gani, wataalamu wa usafiri wa anga wamenza hatua ya awali ya uchunguzi wa mabaki hayo ya ndege.
Taarifa zinasema tayari maofisa wa usalama wameanza kulifanyia uchunguzi bawa hilo na huenda si muda mrefu tukapata maelezo ya kutosha kutoka vyombo vinavyohusika
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: