Posted by On the spot Tz
2:24:00 AM
0
MSANII na mcheza filamu za Kibongo, Baby Madaha amesema hapendi kushiriki mapenzi na wanaume wa umri mdogo ‘Serengeti Boys’ kwani watu hao hawawezi kumshauri mambo ya maendeleo.
Baby alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha kimapenzi na Serengeti Boys.
“Serengeti boys siyo hobi yangu kwa kweli maana watanizingua tu, nawapenda watu wazima maana wananipa akili za kimaendeleo, hao watoto hawawezi kunisaidi chochote cha maana nawashangaa hata hao wanaokuwa nao,” alisema Baby Madaha.
onthespottz.blogspot.com
Baby alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa kutoa maoni yake juu ya kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaojihusisha kimapenzi na Serengeti Boys.
“Serengeti boys siyo hobi yangu kwa kweli maana watanizingua tu, nawapenda watu wazima maana wananipa akili za kimaendeleo, hao watoto hawawezi kunisaidi chochote cha maana nawashangaa hata hao wanaokuwa nao,” alisema Baby Madaha.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
HABARI KITAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
No comments: