Posted by On the spot Tz
10:48:00 PM
0
MPIRA UMEMALIZIKA: FULL TIME
STAND UNITED 1-3 YANGA
Dakika ya 90+3: Muda wowote mchezo utamalizika.
Dakika ya 90: Zimeongezwa dakika 3 za nyongeza.
Dakika ya 86: Mchezo unaendelea kwa kasi.
Tambwe anacheza faulo, anapata kadi ya njano.
Yanga wanafanya mabadiliko, anatoka Salum Telela ameingia Mbuyu Twite.
Dakika ya 82: Maguri anapiga penalti na kufunga, Stand wanapata bao moja
MAGURIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kamusoko alimchezea faulo, Seleman Kassim wa Stand mwamuzi akaweka penalti.
Dakika ya 81: Stand wanapata penalti.
Dakika ya 69:Kamusoko anapiga shuti kali lakini linatoka hatua chache kutoka langoni.
Dakika ya 75: Yanga wanafanya mabadiliko, Ngoma anatoka anaingia Matheo.
Dakika ya 70: Stand waapata kona, wanapiga lakini inatoka nje.
Mashabiki wa Yanga wameanza kupagawa kwa mabao matatu mpaka sasa.
Dakika ya 63: Tambwe anafunga bao kwa kichwa akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na Simon Msuva.
TAMBWEEEEEEEEEEEEE
Dakika ya 60: Maguri anakimbia na mpira pembeni ya uwanja, anaingia katikati ya uwanja lakini juhudu zake zinashindwa kuwa nafaida baada yaYanga kuondoa hatari.
Dakika ya 58: Mchezo bado haina kasi sana ila Yanga wanamiliki mpira muda mwingi.
Dakika ya 52: Msuva anakosa nafasi ya wazi.
Dakika ya 49: Watu wa usalama wanaenda upande ambapo mashabiki wanafanya vurugu, wanawatuliza na mchezo unaendelea.
Dakika ya 48: Mchezo umesimama kwa muda kutokana na baadhi ya mashabiki kumfanyia fujo mwamuzi wa pembeni.
Dakika ya 46: Mchezo umeanza
Kipindi cha kwanza kimekamilika, Yanga inaongoza mabao 2-0.
Zimeongezwa dakika mbili
Dakika ya 45: Ngoma anafunga bao la pili baada ya kupitishiwa pasi nzuri kutoka katikati ya uwanja huku walinzi wa Stand wakijua ameotea.
Dakika ya 38: Mchezo umesimama, Ngoma anatibiwa.
Dakika ya 37: Ngoma yupo chini ameumia lakini mchezo unaendelea.
Dakika ya 35: Yanga wanafanya shambulizi lakini kipa wa Stand anaokoa.
Dakika ya 30: Yanga wameanza kumiliki mpira muda mwingi
Dakika ya 24: Timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dakika ya 20: Stand wanamiliki mpira muda mwingi sasa.
Dakika ya 17: Elius Maguri anapiga shuti lakini linakuwa mchekea kwa kipa wa Yanga.
Dakika ya 11: Yanga bado inaongoza bao 1-0, mchezo bado haina kasi licha ya Yanga kufunga bao la mapema.
Stand walipanda kufanya mashambulizi , Salum Telela wa Yangaakaunasa mpira akapiga ndefu, mshambuliaji wa Yanga, Donlad Ngoma akaunasa akakimbia nao na kwenda kufunga.
Dakika ya 2: Ngoma GOOOOOOO!!!!
Dakika ya 1: Yanga wanafanya mashambulizi.
Mchezo umeanza
Timu zimeshaingia uwanjani, sasa ndiyo zinakaguliwa.
onthespottz.blogspot.com
STAND UNITED 1-3 YANGA
Dakika ya 90+3: Muda wowote mchezo utamalizika.
Dakika ya 90: Zimeongezwa dakika 3 za nyongeza.
Dakika ya 86: Mchezo unaendelea kwa kasi.
Tambwe anacheza faulo, anapata kadi ya njano.
Yanga wanafanya mabadiliko, anatoka Salum Telela ameingia Mbuyu Twite.
Dakika ya 82: Maguri anapiga penalti na kufunga, Stand wanapata bao moja
MAGURIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kamusoko alimchezea faulo, Seleman Kassim wa Stand mwamuzi akaweka penalti.
Dakika ya 81: Stand wanapata penalti.
Dakika ya 69:Kamusoko anapiga shuti kali lakini linatoka hatua chache kutoka langoni.
Dakika ya 75: Yanga wanafanya mabadiliko, Ngoma anatoka anaingia Matheo.
Dakika ya 70: Stand waapata kona, wanapiga lakini inatoka nje.
Mashabiki wa Yanga wameanza kupagawa kwa mabao matatu mpaka sasa.
Dakika ya 63: Tambwe anafunga bao kwa kichwa akiunganisha mpira wa kona uliopigwa na Simon Msuva.
TAMBWEEEEEEEEEEEEE
Dakika ya 60: Maguri anakimbia na mpira pembeni ya uwanja, anaingia katikati ya uwanja lakini juhudu zake zinashindwa kuwa nafaida baada yaYanga kuondoa hatari.
Dakika ya 58: Mchezo bado haina kasi sana ila Yanga wanamiliki mpira muda mwingi.
Dakika ya 52: Msuva anakosa nafasi ya wazi.
Dakika ya 49: Watu wa usalama wanaenda upande ambapo mashabiki wanafanya vurugu, wanawatuliza na mchezo unaendelea.
Dakika ya 48: Mchezo umesimama kwa muda kutokana na baadhi ya mashabiki kumfanyia fujo mwamuzi wa pembeni.
Dakika ya 46: Mchezo umeanza
Kipindi cha kwanza kimekamilika, Yanga inaongoza mabao 2-0.
Zimeongezwa dakika mbili
Dakika ya 45: Ngoma anafunga bao la pili baada ya kupitishiwa pasi nzuri kutoka katikati ya uwanja huku walinzi wa Stand wakijua ameotea.
Dakika ya 38: Mchezo umesimama, Ngoma anatibiwa.
Dakika ya 37: Ngoma yupo chini ameumia lakini mchezo unaendelea.
Dakika ya 35: Yanga wanafanya shambulizi lakini kipa wa Stand anaokoa.
Dakika ya 30: Yanga wameanza kumiliki mpira muda mwingi
![]() |
| KOCHA WA STAND UNITED, LIEWIG |
Dakika ya 24: Timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dakika ya 20: Stand wanamiliki mpira muda mwingi sasa.
Dakika ya 17: Elius Maguri anapiga shuti lakini linakuwa mchekea kwa kipa wa Yanga.
Dakika ya 11: Yanga bado inaongoza bao 1-0, mchezo bado haina kasi licha ya Yanga kufunga bao la mapema.
Stand walipanda kufanya mashambulizi , Salum Telela wa Yangaakaunasa mpira akapiga ndefu, mshambuliaji wa Yanga, Donlad Ngoma akaunasa akakimbia nao na kwenda kufunga.
Dakika ya 2: Ngoma GOOOOOOO!!!!
Dakika ya 1: Yanga wanafanya mashambulizi.
Mchezo umeanza
Timu zimeshaingia uwanjani, sasa ndiyo zinakaguliwa.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KITAIFA.
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: