Posted by On the spot Tz
9:44:00 AM
0
![]() |
| Donald Trump |
Mwezi Disemmba, Bwana Cameron alimtaja Trump kama mtu mwenye “ubaguzi, mjinga, na mwenye makosa” kufuatia kauli yake kwamba ataweka marufuku ya muda ya kuingia Marekani dhidi ya waislam.
Bwana Cameron amekataa kufuta kauli zake dhidi ya Bilionea Trump , ambae anatarajiwa kuwa mgombea wa urais wa Marekani kupitia chama cha Republican katika uchaguzi wa mwezi Novemba.
Akizungumza katika kituo cha televisheni cha Uingereza ITV kwa mara ya kwanza mbele ya umma tangu akosolewe Bwana Trump, alisema yeye si mjinga ama mbaguzi stupid bali ni”muunganishi”.
Kuhusu kauli za Bwana Cameron, Bwana Trump alisema : “yaelekea hatutakuwa na uhusiano mzuri sana, nani anajua.
“natumai kuwa na uhusiano mwema na yeye, lakini inaonekana ni kama hataki kutatua tatizo.”
Donald Trump pia alimkemea Meya wa London , Sadiq Khan, kwa kumuita “mjinga”.
Alielezea kauli yake kama kosa na isiyokua na ya heshma, huku akimtaka Bwana Khan afanyiwe vipimo vya uwezo wa akili yake (IQ).
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: