Posted by On the spot Tz
9:47:00 AM
0
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajib amefuzu majaribio katika klabu ya Lamontville Golden Arrows FC ya Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini.
Hata hivyo, klabu hiyo haiko tayari kumnunua mchezaji huyo bali inataka kumchukua kama mchezaji huru na kumsainisha Mkataba.
Kwa sababu hiyo, klabu hiyo imemuambia Ajib arejee Dar es Salaam kuangalia kama mkataba wake umekwisha apeleke uthibitisho Afrika Kusini ili apewe Mkataba Arrows.
Wakala wa mchezaji huyo, Juma Ndabila amesema kuwa Ajib amefuzu majaribio, lakini kuna suala la mkataba ambapo Simba wanasema bado ana mkataba ingawa mkataba wake umeisha.
Aidha, wakala huyo amesema kuwa wanarejea leo Dar es Salaam pamoja na Ajib.
Kwa upande wake, wakala aliyemuunganishia majaribio Hajib Afrika Kusini, Rodgers Mathaba amesema kwamba mchezaji huyo amepewa fursa ya kurudi Arrow wakati wowote akiwa mchezaji huru.
onthespottz.blogspot.com
Hata hivyo, klabu hiyo haiko tayari kumnunua mchezaji huyo bali inataka kumchukua kama mchezaji huru na kumsainisha Mkataba.
Kwa sababu hiyo, klabu hiyo imemuambia Ajib arejee Dar es Salaam kuangalia kama mkataba wake umekwisha apeleke uthibitisho Afrika Kusini ili apewe Mkataba Arrows.
Wakala wa mchezaji huyo, Juma Ndabila amesema kuwa Ajib amefuzu majaribio, lakini kuna suala la mkataba ambapo Simba wanasema bado ana mkataba ingawa mkataba wake umeisha.
Aidha, wakala huyo amesema kuwa wanarejea leo Dar es Salaam pamoja na Ajib.
Kwa upande wake, wakala aliyemuunganishia majaribio Hajib Afrika Kusini, Rodgers Mathaba amesema kwamba mchezaji huyo amepewa fursa ya kurudi Arrow wakati wowote akiwa mchezaji huru.
onthespottz.blogspot.com
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...



No comments: