Posted by On the spot Tz
8:54:00 AM
0
John Terry amekubali kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Chelsea.
Mapenzi ya dhati kati ya pande hizo mvili yataendelea zadi baada ya Terry kukubali kusaini mwaka mmoja zaidi.
Awali ilionekana kama angeondoka baada ya kuwa ameishacheza mechi 703 na kuchukua makombe lukuki.
Lakini sasa anabaki Chelsea kwa mwaka mwingine.
MECHI YA KWANZA: Oktoba 28, 1998 vs Aston Villa
MECHI: 703
MABAO: 66
MAKOMBE:
Premier League (4)
(2005, 2006, 2010, 2015),
Champions League (1)
(2012),
Europa League (1)
(2013),
FA Cup (5)
(2000, 2007, 2009, 2010, 2012),
League Cup (3)
(2005, 2007, 2015),
Community Shield (1)
(2009)
Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Old Trafford Kwategwa Bomu Hewa,,,Mashabiki wapatao 20,000 wametolewa nje kwenye Uwanja wa Old Trafford na kusababisha kuchelewa kuanza kwa mechi katyi ya Manchester Uni...
-
Mwingine Adakwa Kwa Kumkashifu Rais Magufuli Kwenye Mtandao wa "WhatsApp",,,,,,,Sheria ya Makosa ya Kimtandao inaendelea kushika kasi, mwingine tena aingia matatani baada ya kubainika kutumia Lugha mbaya dhidi ya Rais ...




No comments: