Posted by On the spot Tz
8:54:00 AM
0
John Terry amekubali kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Chelsea.
Mapenzi ya dhati kati ya pande hizo mvili yataendelea zadi baada ya Terry kukubali kusaini mwaka mmoja zaidi.
Awali ilionekana kama angeondoka baada ya kuwa ameishacheza mechi 703 na kuchukua makombe lukuki.
Lakini sasa anabaki Chelsea kwa mwaka mwingine.
MECHI YA KWANZA: Oktoba 28, 1998 vs Aston Villa
MECHI: 703
MABAO: 66
MAKOMBE:
Premier League (4)
(2005, 2006, 2010, 2015),
Champions League (1)
(2012),
Europa League (1)
(2013),
FA Cup (5)
(2000, 2007, 2009, 2010, 2012),
League Cup (3)
(2005, 2007, 2015),
Community Shield (1)
(2009)

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: