
Posted by On the spot Tz
8:49:00 AM
0
![]() |
MAZINGIRA YA UWANJA HUO YALIVYO SASA. MECHI ITAANZA SAA 11 KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI |
Esperanca wanaonekana kupania kuwadhulumu waandishi wa habari haki ya kuripoti baada ya kumpokonya kamera mwandishi Musa Mateja kwa madai haruhusiwi kuingia uwanjani wakati timu yao inapambana na Yanga katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Mateja ametolewa nje kwa madai hatakiwi kupiga picha na huo uamuzi umepitishwa na uongozi wa klabu hiyo.
Mwandishi huyo aliambiwa tokea jana kuhusiana na hilo, lakini Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga aliwaeleza kwamba shirikisho la soka la nchi hiyo liliwaambia picha za video pekee ndiyo hawatakiwi kuchukua.
Lakini leo inaonekana mwandishi huyo anaonekana anaweza akaripoti kuhusiana na figisu zao, wametaka aondolewe.
Taarifa zilizoingia hivi punde zinaeleza tayari Sanga yuko eneo la tukio, pia kuna mwandishi wa Mwanaspoti, Gift Macha naye amezuiwa kuingia kama ilivyo kwa Mateja.

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
WATOTO WA KAGAME WAITIKISA TIMU YA TAIFA YA RWANDA,,,,,,Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasi...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
-
UCHAGUZI MAREKANI WAPAMBA MOTO,,,,,Wagombea Urais marekani Licha ya ushindi wa Trump wa Jumanne ya jana kuzidi kumuhak...
No comments: