
Posted by On the spot Tz
6:09:00 AM
0
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa kuamkia leo ameisaidia timu yake, KRC Genk kuibuka na ushindi wa mabao 5-1 katika mchezo wa mchujo Ubelgiji kuwania kucheza michuano ya Ulaya.
Samatta alicheza kwa dakika zote 90, mabao ya Genk yakifungwa na Leon Bailey dakika ya 45, Buffel dakika ya 65, Pozuelo dakika ya 76, Ndidi dakika ya 78 na Nikos Karelis dakika ya 90 na ushei wakati ya Anderlecht yalifungwa Filip Djuricic dakika ya 25 na Suarez dakika ya 60.
Genk sasa itahitaji ushinda katika mchezo wao wa mwisho Jumapili dhidi ya Genk ugenini ili kufuzu moja kwa moja Europa League.

Club Brugge inaongoza mchujo wa kuwania michuano ya Ulaya kwa pointi zake 53, ikifuatiwa na Anderlecht yenye pointi 44, AA Gent pointi 41 na Racing Genk pointi 39.
Timu itakayomaliza katika nafasi ya nne, ili kupata tiketi ya kucheza Europa League italazimika kumenyana na mshindi kati ya Charleroi na Kortrijk zitakazomenyana katika mchezo mwingine wa mchujo.
Samatta jana amecheza mechi ya 15 tangu ajiunge na Genk akitoka kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na TP Mazembe pamoja na kutwaa tuzo ya Mwanasoka Bora Anayecheza Afrika.
Katike mechi hizo, ambazo nane tu ndiyo ameanza, mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba SC ya Dar es Salaam, amefunga mabao nne, moja katika kila mechi Genk ikishindia 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem, 4-0 na 4-1 dhidi ya KV Oostende na 3-2 dhidi ya Club Brugge.
onthespottz.blogspot.com
Samatta alicheza kwa dakika zote 90, mabao ya Genk yakifungwa na Leon Bailey dakika ya 45, Buffel dakika ya 65, Pozuelo dakika ya 76, Ndidi dakika ya 78 na Nikos Karelis dakika ya 90 na ushei wakati ya Anderlecht yalifungwa Filip Djuricic dakika ya 25 na Suarez dakika ya 60.
Genk sasa itahitaji ushinda katika mchezo wao wa mwisho Jumapili dhidi ya Genk ugenini ili kufuzu moja kwa moja Europa League.
Club Brugge inaongoza mchujo wa kuwania michuano ya Ulaya kwa pointi zake 53, ikifuatiwa na Anderlecht yenye pointi 44, AA Gent pointi 41 na Racing Genk pointi 39.
Timu itakayomaliza katika nafasi ya nne, ili kupata tiketi ya kucheza Europa League italazimika kumenyana na mshindi kati ya Charleroi na Kortrijk zitakazomenyana katika mchezo mwingine wa mchujo.
Samatta jana amecheza mechi ya 15 tangu ajiunge na Genk akitoka kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Afrika na TP Mazembe pamoja na kutwaa tuzo ya Mwanasoka Bora Anayecheza Afrika.
Katike mechi hizo, ambazo nane tu ndiyo ameanza, mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba SC ya Dar es Salaam, amefunga mabao nne, moja katika kila mechi Genk ikishindia 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem, 4-0 na 4-1 dhidi ya KV Oostende na 3-2 dhidi ya Club Brugge.
onthespottz.blogspot.com

Tagged with:
MICHEZO KIMATAIFA
On the spot Tz
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Kiongozi wa Upinzani Uganda Besigye Ashtakiwa Kwa Uhaini,,,Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye ameshtakiwa kwa kosa la uhaini baada ya kujitangaza mshindi wa uchaguzi uliofanyika hiv...
-
HARRY KANE ATWAA KIATU CHA DHAHABU ENGLAND,,,,,,,Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa na picha hya kiatu cha dhahabu cha Ligi Kuu ya Enfland baada ya kiibuka mfungaji bora...
-
Mashabiki na Wanachama wa Yanga Wachoma Magazeti Yanayomilikiwa na Reginald Mengi.,,,,,,Wanachama na mashabiki wa Yanga leo wakiyachana na kuyachoma moto magazeti ya The Guardian na Nipashe yanayomilikiwa na kampuni ya IPP MED...
-
Makahaba Dar es Salaam Wamzidi Nguvu Paul Makonda,,,,,,,,,Ving’ang’anizi! Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwataka akina dada wanaouza miili ‘makahaba’ kuondoka kwenye ‘mas...
No comments: